Wakati Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Albert Chalamila, akitoa agizo la kutaka mabasi yasiyo na vibali vya kuwa na vituo vidogo ndani ya mkoa huo kuhamia Stendi ya Magufuli, Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (Taboa) kimepanga kukutana kujadili agizo hilo, kabla ya kutoka na msimamo wao.

Back to Home
Wenye mabasi kujifungia kujadili agizo la RC Chalamila
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
