Mafanikio ya kambi ya matibabu ya moyo iliyofanywa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) nchini Comoro yamefungua fursa ya ushirikiano mpya baada ya uongozi wa Kisiwa cha Anjouan, kuomba huduma hizo ziwe zinaendelea kutolewa kupitia makubaliano ya muda mrefu.

Back to Home
Mahitaji ya huduma za moyo Comoro yaipa fursa JKCI
Mwananchi about 6 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
