Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Dk Bashiru Ally amezitaka kamati za ulinzi na usalama za mikoa na wilaya nchini, kuhakikisha taasisi za elimu, ikiwamo shule na vyuo, zinakuwa katika mazingira salama ili kulinda walimu na wanafunzi.

Back to Home
Dk Bashiru: Walimu, wanafunzi walindwe shuleni
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
