Moto ambao chanzo chake hakijafahamika umetekeza bweni la wanafunzi katika Shule ya Wasichana ya Kilimanjaro Mahadil Islamia Seminari, iliyopo Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro. Katika tukio hilo wanafunzi 25 walinusurika.

Back to Home
Moto wateketeza bweni Shule ya Mahadil Islamia, wanafunzi 25 wanusurika
Mwananchi about 21 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
